Jumanne, 7 Novemba 2017







Mkuu wa Mkoa Mstaafu Mh. Dr. Joel Nkaya Bendera akimpokea na kumkaribisha Mkuu Mpya wa Mkoa wa Manyara Mh. Alexander Pastory Mnyeti aliporipoti kwa mara ya kwanza katika Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Manyara.
Mradi wa Ujenzi wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Manyara kwa majengo ya Idara za Utawala na Wagonjwa wa Nje (Out Patients).


Muonekano wa Jengo hilo upande wa Mbele 

Muonekano wa Jengo hilo upande wa Nyuma
Ujenzi wa Mradi wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Manyara ikiwa kwenye hatua ya upauji, Mafundi wakiendelea na shughuli zao kama kawaida kuhakikisha mradi unakamilika ndani ya muda na kwa kiwango kinachotakiwa chini ya Usimamizi wa Mkandarasi wa Majengo Ndugu. Domician Kirina (tarehe 7 Novemba, 2017).

Jumanne, 12 Septemba 2017


Afisa Elimu Mkoa wa Manyara Bwana Anord Msuya katika kikao cha Maafisa Elimu Sekondari akisisitiza Kuhusu usimamizi wa katika utoaji wa Elimu, kuweka mpango mkakati wa Michezo, maandalizi ya kuwapokea wanafunzi wa kidato cha kwanza mwaka 2018 na maandalizi ya mitihani ya Kitaifa katika mazingira ya ufanyikaji.




Mkuu wa Mkoa wa Manyara Dkt Joel Bendera akifungua kikao kazi kwa ajili ya kujali mwenendo wa utoaji taaluma katika Mkoa na kujumuisha Wakuu wa Shule za Sekondari zote katika Mkoa na Maafisa Elimu wa Halmashauri zote.




Mkuu wa Mkoa wa Manyara Dkt.Joel Bendera, akizindua zoezi la usajili, utambuzi na upigaji chapa wa mifugo, uliofanyika  kijiji cha Hayloto kata ya Nambis  katika Halmashauri ya Mji wa Mbulu.




Mkuu  wa Mkoa wa Manyara Dkt Joel N. Bendera akiongea na wanafunzi wa Shule  ya Sekondari  Bishop Nicodemus Hhando iliyopo Kata ya Masqaroda Wilaya ya Mbulu Mara alipotembelea katika Shule hiyo ambapo yatafanyika makabidhiano ya Mwenge wa uhuru Kati ya Mbulu  Mji na Mbulu  vijijini.