Jumanne, 12 Septemba 2017


Afisa Elimu Mkoa wa Manyara Bwana Anord Msuya katika kikao cha Maafisa Elimu Sekondari akisisitiza Kuhusu usimamizi wa katika utoaji wa Elimu, kuweka mpango mkakati wa Michezo, maandalizi ya kuwapokea wanafunzi wa kidato cha kwanza mwaka 2018 na maandalizi ya mitihani ya Kitaifa katika mazingira ya ufanyikaji.




Mkuu wa Mkoa wa Manyara Dkt Joel Bendera akifungua kikao kazi kwa ajili ya kujali mwenendo wa utoaji taaluma katika Mkoa na kujumuisha Wakuu wa Shule za Sekondari zote katika Mkoa na Maafisa Elimu wa Halmashauri zote.




Mkuu wa Mkoa wa Manyara Dkt.Joel Bendera, akizindua zoezi la usajili, utambuzi na upigaji chapa wa mifugo, uliofanyika  kijiji cha Hayloto kata ya Nambis  katika Halmashauri ya Mji wa Mbulu.




Mkuu  wa Mkoa wa Manyara Dkt Joel N. Bendera akiongea na wanafunzi wa Shule  ya Sekondari  Bishop Nicodemus Hhando iliyopo Kata ya Masqaroda Wilaya ya Mbulu Mara alipotembelea katika Shule hiyo ambapo yatafanyika makabidhiano ya Mwenge wa uhuru Kati ya Mbulu  Mji na Mbulu  vijijini.