Jumanne, 11 Desemba 2018

SIKU YA UKIMWI DUNIANI MKOANI MANYARA

Mkuu wa Wilaya ya Babati Mh.Elizabeth Kitundu ambaye alikuwa Mgeni Rasmi katika siku ya Ukimwi Duniani iliyofanyika kimkoa katika viwanja vya Kwaraa Halmashauri ya Mji Babati  Mkoani Mnayara Tarehe 1/12/2018 akisalimiana na wadau wa sekta ya Afya.


Mkuu wa Wilaya ya Babati Mh.Elizabeth Kitundu ambaye alikuwa Mgeni Rasmi katika siku ya Ukimwi Duniani iliyofanyika kimkoa katika viwanja vya Kwaraa Halmashauri ya Mji Babati  Mkoani Mnayara Tarehe 1/12/2018 akisalimiana na wadau wa sekta ya Afya.


Mkuu wa Wilaya ya Babati Mh.Elizabeth Kitundu ambaye alikuwa Mgeni Rasmi katika siku ya Ukimwi Duniani iliyofanyika kimkoa katika viwanja vya Kwaraa Halmashauri ya Mji Babati  Mkoani Mnayara Tarehe 1/12/2018 akisalimiana na wadau wa sekta ya Afya.



Mtoa huduma akitoa huduma kwa Mwananchi aliyehudhuria katika Viwanja vya Kwaraa katika siku ya Ukimwi Dunia tarehe 1/12/2018.


Baadhi ya Wananchi waliohudhuria kupata huduma za Afya  katika kilele cha siku ya Ukimwi Duniani,maadhimisho hayo yalifanyika kimkoa katika Viwanja vya Kwaraa Halmashauri ya Mji wa Babati tarehe 1/12/2018


Baadhi ya Wananchi waliohudhuria kupata huduma za Afya  katika kilele cha siku ya Ukimwi Duniani,maadhimisho hayo yalifanyika kimkoa katika Viwanja vya Kwaraa Halmashauri ya Mji wa Babati tarehe 1/12/2018





Baadhi ya Wananchi waliohudhuria kupata huduma za Afya  katika kilele cha siku ya Ukimwi Duniani,maadhimisho hayo yalifanyika kimkoa katika Viwanja vya Kwaraa Halmashauri ya Mji wa Babati tarehe 1/12/2018

Mwakilishi wa  Benjamin Mkapa Foundation Mkoa wa Manyara  Dkt.Daudi Mkopi akitoa taarifa juu ya Ugonjwa wa Ukimwi katika Mkoa wa Manyara katika maadhimisho ya siku ya Ukimwi Duniani yaliyofanyika katika viwanja vya Kwaraa tarehe 1/12/2018.


Jumamosi, 1 Desemba 2018

Kikao Cha Bodi ya Barabara Mkoa wa Manyara

Mjumbe akichangia mada katika kikao cha Bodi ya Barabara Mkoa wa Manyara kilichofanyika 30 Novemba,2018


Mwenyekiti wa Halmshauri ya Mbulu akichangia mada katika kikao cha Bodi ya Barabara Mkoa wa Manyara kilichofanyika 30 Novemba,2018



Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mji Babati Bw. Kibiki Mohamed na Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mbulu Mji wakiwa katika kikao cha Bodi ya Barabara Mkoa wa Manyara kilichofanyika 30 Novemba,2018


Baadhi ya Wakurugenzi wa Halmashauri za Mkoa wa Manyara wakiwa  katika kikao cha Bodi ya Barabara Mkoa wa Manyara kilichofanyika 30 Novemba,2018


Kaimu Katibu Tawala wa Wilaya ya Babati akiwa katika kikao cha Bodi ya Barabara Mkoa wa Manyara kilichofanyika 30 Novemba,2018


Baadhi ya wajumbe waliohudhuria kikao cha Bodi ya Barabara Mkoa wa Manyara kilichofanyika 30 Novemba,2018


Mjumbe akichangia mada katika kikao cha Bodi ya Barabara Mkoa wa Manyara kilichofanyika 30 Novemba,2018


Mbunge wa Viti Maalum CCM Mh. Ester Mahawe (kushoto)  akiwa na Mkuu wa Wilaya ya Babati Mh.Elizabeth Kitundu (kulia) katika  kikao cha Bodi ya Barabara Mkoa wa Manyara kilichofanyika 30 Novemba,2018


Baadhi ya wajumbe waliohudhuria kikao cha Bodi ya Barabara Mkoa wa Manyara kilichofanyika 30 Novemba,2018


Mkurugenzi wa Halmshauri ya Wilaya ya  Simanjiro akichangia mada katika kikao cha Bodi ya Barabara Mkoa wa Manyara kilichofanyika 30 Novemba,2018


Mbunge wa Viti Maalu CCM Mh. Marther Umbullah (kushoto)  akiwa na Mbunge wa Babati Mjini  Mh.Pauline Gekul (kulia) katika  kikao cha Bodi ya Barabara Mkoa wa Manyara kilichofanyika 30 Novemba,2018


Meneja wa Tanroads Mkoa wa Manyara Mhandisi Bashiri Rwesingisa akichangia mada katika kikao cha Bodi ya Barabara Mkoa wa Manyara kilichofanyika 30 Novemba,2018


Mkuu wa Mkoa wa Manyara Mh.Alexander Mnyeti akiongoza kikao cha Bodi ya Barabara Mkoakilichofanyika 30 Novemba,2018


Mkurugenzi wa Halmshauri ya Wilaya ya Babati akichangia mada katika kikao cha Bodi ya Barabara Mkoa wa Manyara kilichofanyika 30 Novemba,2018


Mbunge wa Babati Mjini  Mh.Pauline Gekul (kushoto) akichangia mada  katika  kikao cha Bodi ya Barabara Mkoa wa Manyara kilichofanyika 30 Novemba,2018


Mkurugenzi wa Halmshauri ya Mji wa  Babati akichangia mada katika kikao cha Bodi ya Barabara Mkoa wa Manyara kilichofanyika 30 Novemba,2018


Mwenyekiti wa Halmshauri ya Mji Babati akichangia mada katika kikao cha Bodi ya Barabara Mkoa wa Manyara kilichofanyika 30 Novemba,2018


Meneja wa TARURA Mkoa wa Manyara akichangia mada katika kikao cha Bodi ya Barabara Mkoa wa Manyara kilichofanyika 30 Novemba,2018


Mbunge wa Kiteto  Mh.Emanuel Papiani akichangia mada  katika  kikao cha Bodi ya Barabara Mkoa wa Manyara kilichofanyika 30 Novemba,2018


Mkurugenzi wa Halmshauri ya Wilaya ya  Mbulu akichangia mada katika kikao cha Bodi ya Barabara Mkoa wa Manyara kilichofanyika 30 Novemba,2018


Mkurugenzi wa Halmshauri ya Wilaya ya  Mbulu akichangia mada katika kikao cha Bodi ya Barabara Mkoa wa Manyara kilichofanyika 30 Novemba,2018


Mkurugenzi wa Halmshauri ya Wilaya ya  Kiteto akichangia mada katika kikao cha Bodi ya Barabara Mkoa wa Manyara kilichofanyika 30 Novemba,2018


Mkurugenzi wa Halmshauri ya Wilaya ya  Hanang akichangia mada katika kikao cha Bodi ya Barabara Mkoa wa Manyara kilichofanyika 30 Novemba,2018


Mbunge wa Viti Maalum CCM Mh. Ester Mahawe akichangia mada  katika  kikao cha Bodi ya Barabara Mkoa wa Manyara kilichofanyika 30 Novemba,2018


Mbunge wa Viti Maalum CCM Mh. Ester Mahawe akichangia mada  katika  kikao cha Bodi ya Barabara Mkoa wa Manyara kilichofanyika 30 Novemba,2018


Mkuu wa Mkoa wa Manyara Mh.Alexander Mnyeti akiongoza kikao cha Bodi ya Barabara Mkoakilichofanyika 30 Novemba,2018


Katibu Tawala Mkoa wa Manyara Bwana Missaile Musa akitoa ufanunuzi juu ya baadhi ya mambo katika kikao cha Bodi ya Barabara Mkoakilichofanyika 30 Novemba,2018


NJOONI MJIFUNZE MANYARA-MNYETI

Mkuu wa Mkoa wa Manyara Mh.Alexander Mnyeti amewataka viongozi kutoka mikoa mbalimbali kuja Manyara na kuona jinsi Mkoa wa Manyara unavyopiga hatua katika shughuli mbalimbali za kimaendeleo.