Ujenzi wa Mradi wa Hospitali ya
Rufaa ya Mkoa wa Manyara ikiwa kwenye hatua ya upauji, Mafundi wakiendelea na
shughuli zao kama kawaida kuhakikisha mradi unakamilika ndani ya muda na kwa
kiwango kinachotakiwa chini ya Usimamizi wa Mkandarasi wa Majengo Ndugu.
Domician Kirina (tarehe 7 Novemba, 2017).
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni