Jumanne, 7 Novemba 2017

Ujenzi wa Mradi wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Manyara ikiwa kwenye hatua ya upauji, Mafundi wakiendelea na shughuli zao kama kawaida kuhakikisha mradi unakamilika ndani ya muda na kwa kiwango kinachotakiwa chini ya Usimamizi wa Mkandarasi wa Majengo Ndugu. Domician Kirina (tarehe 7 Novemba, 2017).

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni