Jumanne, 7 Novemba 2017






Mkuu Mpya wa Mkoa wa Manyara Mh. Alexander P. Mnyeti akiwasalimia wakuu wa idara na vitengo wa Sekretariat ya Mkoa, wakuu wa taasisi na watumishi mbalimbali alipowasili kwa mara ya Kwanza kwenye Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Manyara.












Mkuu wa Mkoa Mstaafu Mh. Dr. Joel Nkaya Bendera akimpokea na kumkaribisha Mkuu Mpya wa Mkoa wa Manyara Mh. Alexander Pastory Mnyeti aliporipoti kwa mara ya kwanza katika Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Manyara.
Mradi wa Ujenzi wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Manyara kwa majengo ya Idara za Utawala na Wagonjwa wa Nje (Out Patients).


Muonekano wa Jengo hilo upande wa Mbele 

Muonekano wa Jengo hilo upande wa Nyuma
Ujenzi wa Mradi wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Manyara ikiwa kwenye hatua ya upauji, Mafundi wakiendelea na shughuli zao kama kawaida kuhakikisha mradi unakamilika ndani ya muda na kwa kiwango kinachotakiwa chini ya Usimamizi wa Mkandarasi wa Majengo Ndugu. Domician Kirina (tarehe 7 Novemba, 2017).