Mkuu Mpya wa Mkoa wa Manyara Mh. Alexander P. Mnyeti akiwasalimia wakuu wa idara na vitengo wa Sekretariat ya Mkoa, wakuu wa taasisi na watumishi mbalimbali alipowasili kwa mara ya Kwanza kwenye Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Manyara.
Jumanne, 7 Novemba 2017
Ujenzi wa Mradi wa Hospitali ya
Rufaa ya Mkoa wa Manyara ikiwa kwenye hatua ya upauji, Mafundi wakiendelea na
shughuli zao kama kawaida kuhakikisha mradi unakamilika ndani ya muda na kwa
kiwango kinachotakiwa chini ya Usimamizi wa Mkandarasi wa Majengo Ndugu.
Domician Kirina (tarehe 7 Novemba, 2017).