Jumanne, 12 Septemba 2017


Mkuu  wa Mkoa wa Manyara Dkt Joel N. Bendera akiongea na wanafunzi wa Shule  ya Sekondari  Bishop Nicodemus Hhando iliyopo Kata ya Masqaroda Wilaya ya Mbulu Mara alipotembelea katika Shule hiyo ambapo yatafanyika makabidhiano ya Mwenge wa uhuru Kati ya Mbulu  Mji na Mbulu  vijijini.


Hakuna maoni:

Chapisha Maoni