Ijumaa, 31 Machi 2017

WANANCHI WA KIJIJI CHA SHAURIMOYO WAMALIZA MGOGORO NA MWEKEZAJI


Mkuu wa Mkoa wa Manyara Dkt. Joel N. Bendera amekabidhiwa hati ya shamba lenye ukubwa wa Ekari 1098 lililokuwa likigombewa na wananchi mali ya mwekezaji Bwana PARU Parvinder Nyotta mwenye Kampuni ya Republic Body Builders LTD wa Kijiji cha Shaurimoyo kwa ajili ya kuwagawia wananchi ili kumaliza mgogoro uliodumu kwa zaidi ya mikaka kumi.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni