Ijumaa, 31 Machi 2017

WATUMISHI WA UMMA MKOA WA MANYARA WAPATA VITAMBULISHO VYA URAIA




Mkuu wa Mkoa wa Manyara Dkt. Joel N. Bendera amefanya uzinduzi ofisini kwake  wa kugawa Vitambulisho vya Uraia kwa watumishi wa UMMA Mkoa wa Manyara baada ya Mamlaka ya vitambulisho (NIDA) kukamilisha usajili na uhakiki. 


Hakuna maoni:

Chapisha Maoni