Ijumaa, 31 Machi 2017

WALIMU HANANG WAKUTANA NA MKUU WA MKOA KUBORESHA ELIMU.


Mkuu wa Mkoa wa Manyara Dkt. Joel N. Bendera akiongea na Walimu wa Shule ya Sekondari na Msingi wa Wilaya ya Hanang' kwa ajili ya kupeana mikakati ya kuboresha ufundishaji katika shule zao.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni